Afya

Bawasili Inasababishwa na Mambo Haya Matano

Ukipata bawasili kwa mara ya kwanza unaweza kudhani ni kansa au ni utumbo unatoka nje. Hali hii hufanya mtu kuwaza mengi sana.   Wengi huja hospitali kuripoti kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa. Lakini ni asilimia 30 tu ya watu wenye bawasili ndio huja hospitali kuripoti hali hii.   Asilimia 10 huwa hawaji kabisa […]

Bawasili Inasababishwa na Mambo Haya Matano #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Kiharusi: Nini Hutokea Baada ya Kukipata? 

Bila shaka huwa una tabia ya kujifunza namna ya kuepuka magonjwa mbalimbali kama malaria, UKIMWI, kaswende, kansa, n.k. Lakini ulishawahi kujifunza namna ya kujikinga na kiharusi (stroke)?   Kama bado basi nakusihi uanze sasa kujua namna gani ya kujikinga na changamoto ya kiharusi kwasababau sio ugonjwa mzuri na una matokeo hasi sana ikiwa utaupata.   

Kiharusi: Nini Hutokea Baada ya Kukipata?  #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Njia Kuu 4 za Kujikinga na Malaria

“Mwaka 2015 mtoto wetu wa miaka 6 alifariki kwa sababu ya ugonjwa wa malaria.” Alisema mama mmoja kwa uchungu wakati tukizungumza mawili matatu.   “Hatukuwahi kabisa kuzingatia maagizo ya afya ya kujikinga na malaria na ndio sababu.” Aliongezea mama huyo huku machozi yakimlenga.   Ni rahisi sana kupuuzia maagizo ya wataalam kuhusu namna ya kujikinga

Njia Kuu 4 za Kujikinga na Malaria #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Faida za Kiafya za Kupunguza Uzito Wako 

Unapoweka malengo ya kupunguza uzito huwa unalenga nini hasa?   Je unataka muonekano mzuri? Unataka kuongeza ujasiri (confidence)? Au unataka kumfurahisha mchumba wako? Wengine hupunguza uzito ili waigize filamu au watoe wimbo fulani.  Kwa bahati mbaya asilimia 95% ya watu wanaojaribu kupunguza uzito hushindwa. Kama umeweza basi kuna sababu ya ziada na ya kipekee iliyokusaidia

Faida za Kiafya za Kupunguza Uzito Wako  #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Njia 3 za Kiafya za Kuwa Mbunifu

Ubunifu ni kitu gani? Kuna haja ya kuwa mbunifu?   Wanasayansi wanaelezea  ubunifu kama uwezo wa kuzalisha mawazo mapya yenye kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya kila siku. Kama wewe ni mdadisi wa mambo utakubaliana na mimi kwamba, kwa sehemu kubwa, maisha magumu uletwa na ukosefu wa ubunifu.   Maana yake, kushindwa kuzalisha na kufanyia kazi mawazo

Njia 3 za Kiafya za Kuwa Mbunifu #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

3 reasons why you have back pain

Sababu 3 Kwanini Unapata Maumivu ya Mgongo  

Kama umefatilia, tatizo la maumivu ya mgongo ni moja ya matatizo sugu sana kwenye jamii yetu; kama sikosei, wewe pia limeshakukuta au unalo.    Hauko peke yako, kutokana na ripoti za Shirika la Afya Duniani, takribani ya watu million 619 duniani wanasumbuliwa na maumivu ya mgongo. Hii ni sawa na asilimia 10% ya watu wote

Sababu 3 Kwanini Unapata Maumivu ya Mgongo   #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Madhara Matano ya Uzito Mdogo 

Mara nyingi tukiongelea uzito watu wengi huangalia uzito mkubwa kama tishio kwenye afya.   Ulishawahi kujiuliza mtu akiwa na uzito mdogo kupita kawaida ina athari gani kwenye afya? Usiumize kichwa sana kwasababu makala hii itakupa majibu ya swahi hilo.    Uzito kiasi gani huesabika kama uzito mdogo? Jibu ni kwamba hakuna uzito maalum unaohesabika kama

Madhara Matano ya Uzito Mdogo  #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Vifaa Tiba 10 vya Kuwa Navyo Nyumbani Kwako

Katika kutibu ugonjwa kuna njia nyingi, mojawapo (ambayo ni kubwa) ni matumizi ya dawa. Asilimia 90% ya wagonjwa wanapoumwa macho hukimbilia kwenye dawa wakiamini kwamba dawa pekeee ndiyo inaweza au inatakiwa kutibu au kufanya ugonjwa kuwa nafuu.    Bahati mbaya matumizi ya dawa za maumivu kwa muda mrefu zimechangia kupata madhara mengine kama vidonda vya tumbo, kuvimba

Vifaa Tiba 10 vya Kuwa Navyo Nyumbani Kwako #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Maumivu ya Kisigino na Unyayo: Visababishi na Njia za Kutibu

Maumivu ya kisigino na unyayo (plantar pain) ni moja ya changamoto kubwa katika jamii. Tatizo hili lipo sana kwa wanamichezo na wanawake wenye uzito mwingi na vitambi.    Husababishwa na nini? 1. Plantar Fasciitis Hii ni hali ya utando wa chini wa sole ya  mguu, fascia (utando mweupe ambao huunganisha kati ya kisigino na vidole),

Maumivu ya Kisigino na Unyayo: Visababishi na Njia za Kutibu #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

Muda wa Kula Unavyoathari Afya na Maisha Yako

Kuna maana yoyote kuzingatia unakula muda gani? Tulipokuwa watoto, chochote unachoshika au kupewa mwisho wa siku unaelekeza mdomoni. Ila baada ya kukua, kabla hujaweka kitu mdomoni, lazima ujiulize maswali matatu: Je! Ni muhimu? Ni lazima? Ni muda sahihi?   Maswali mawili ya kwanza (muhimu na lazima) kila mtu mwenye ufahamu lazima ajiulize. Swali la tatu

Muda wa Kula Unavyoathari Afya na Maisha Yako #!trpst#trp-gettext data-trpgettextoriginal=7403#!trpen#Read More »#!trpst#/trp-gettext#!trpen#

en_USEN