LATEST ARTICLES
June 18, 2026
Changamoto zinazobaki katika mapambano dhidi ya ukoma si za kipekee kwa Tanzania. Nchi nyingi zilizokuwa na mzigo mkubwa wa ugonjwa huu zimewahi kukabiliana na changamoto kama za utambuzi wa mapema, contact...
June 13, 2026
Safari ya Tanzania katika kupambana na ukoma ni mfano mzuri wa mafanikio kwenye afya ya jamii. Miaka ya nyuma, ugonjwa huu ulileta ulemavu mkubwa, unyanyapaa, na changamoto nyingi za kijamii.
Hali...
May 26, 2026
Watu wengi sana tuna Google dalili tulizonazo kabla na baada ya kwenda hospitali, bila shaka hii inaweza kuwa njia ya kuokoa muda, lakini kwa upande mwingine wa shilingi, hatua hii ni hatari kwa Afya yako.
Fikiria...
May 9, 2026
“Daktari nina kikohozi cha zaidi ya wiki mbili sasa na nikikohoa makohozi yanatoka yaliochanganyika na damu, pamoja na kuchoka mwili, vilevile nikilala usiku natokwa na jasho sana”
Hiyo...
April 25, 2026
“Kama Baba Mateso angekuwa ananunua dawa ya mbu ya kuchoma mara kwa mara, familia hii tusingekuwa na Malaria!” Mama Mateso akiwa analalamika.
Unatamani umuulize swali: Jukumu la kukinga...
April 24, 2026
Naomba usome makala hii polepole na kwa utulivu sana, kwa sababu ninakuandikia wewe na sio orodha ya watu, wala takwimu za hospitali.
Ninakuandikia wewe ambaye labda jana au wiki iliyopita umehisi...
April 24, 2026
Kuna baadhi yetu tunapohisi dalili za malaria, tunakimbilia katika maabara kupima na kwenda kwenye maduka ya dawa kwa ajili ya kupata dawa mseto.
Ni kawaida ya wengi kutafuta tiba mbadala ya...
April 23, 2026
Tanzania imeanza utekelezaji rasmi wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote (UHI Act, 2023) mwanzoni mwa mwaka huu wa 2026. Haya ni mapinduzi katika sekta ya afya yanayolenga kumgusa kila mtanzania.
Kabla...
March 30, 2026
Kila mtu atakufa, hilo halina ubishi kabisa. Swali ni kwamba, utakufa lini? Utakufaje ? Katika mazingira yapi? Je, unaamini kuna vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa elimu?
Leo hii ukipatwa na dharula ya mtu wako kuanguka ghafla au ukikutana na mtu amedondoka ghafla utachukua hatua gani?...
March 20, 2026
Sekunde chache zinaweza kutofautisha kati ya kupona na kupoteza maisha. Wakati unapokabiliwa na dharura kama ajali, kiharusi (stroke), au shambulio ghafla la moyo, kuna muda muhimu unaoitwa “Saa la Dhahabu”.
Hizi...
No posts found
