Know Your Health with a Beautiful Smile.
Welcome!
Our blog aims at giving you quality health education on various daily-life challenges.
LATEST ARTICLES
Ukipata bawasili kwa mara ya kwanza unaweza kudhani ni kansa au ni utumbo unatoka nje. Hali hii hufanya mtu kuwaza mengi sana. Wengi huja hospitali kuripoti kutokwa na kinyama...
“Sio kila homa ni malaria bhana” ni kampeni maarufu sana ambayo Wizara ya Afya imekuwa ikiitumia mara kwa mara kuwakumbusha wananchi kuacha kununua dawa na kujitibu kiholela na pia...
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini tusipoweka chandaru baba anatugombeza sana! Mzee alihakikisha anapita chumbani kila usiku na kama chndarua hakijawekwa vizuri alikuwa anakirekebisha...
Ni wazi umeshawahi kuusikia ugonjwa wa Malaria kabla ya kusoma makala hii. Na si aghalabu kuwa umeshawahi kuumwa malaria, au ndugu yako, au mtoto wako, au mtu unayemfahamu ameshawahi...
Je, unatamani kushika ujauzito? Au uko kwenye safari ya kushika ujauzito, kupandikiza mtoto (IVF) au kupata mimba kwa njia asilia? Unafahamu kuhusu ubora wa yai (egg quality)? ...
Bila shaka huwa una tabia ya kujifunza namna ya kuepuka magonjwa mbalimbali kama malaria, UKIMWI, kaswende, kansa, n.k. Lakini ulishawahi kujifunza namna ya kujikinga na kiharusi (stroke)?...
About Us
Our mission is to educate African communities using a friendly language.
More than 45 percent of adults in African countries lack proper education about their health. It has become a tradition to run to the pharmacy when faced with small health problems.
But, how cool would it be if there was a free solution to the various problems of our bodies? A solution which is available 24 hours a day!
This is the main reason for our existence. Helping Tanzanians and Africans in general to get the right information about their health, to develop better health habits and make the right treatment decisions after getting sick.