LATEST ARTICLES

milk
Ni Ukweli Unywaji wa Maziwa Unaweza Kupelekea Saratani ya Kibofu kwa Wanaume?
Leo asubuhi wakati  naelekea katika pilikapilika za hapa na pale nilipata wasaa wa kuperuzi katika kundi moja la WhatsApp ambapo nilikutana na mazungumzo yanayohusu makala iliyoandikwa na BBC ambapo...
burn scar
Nikiungua Moto Nichukue Hatua Gani za Mapema?
Jamii ina utaratibu wake wa kufanya pale mtu anapoungua. Wewe unajua upi? Kwenye utamaduni wangu nimekuwa nikiona mtu akiungua anamwagiwa mkojo kwenye sehemu aliyoungua na imekuwa ikiaminika kwamba inasaidia....
faida za kutumia mafuta ya samaki
Mafuta ya Samaki: Chanzo, Faida na Matumizi
Kipindi nikiwa mtoto nakumbuka kusistizwa kunywa kijiko cha mafuta ya Samaki, Mama yangu alisisitiza kuwa ni mazuri sana kwa afya. Leo nimekumbuka kipindi hicho na baada ya kusoma masomo yangu ya shahada...
prostate gland
Mkojo Unakataa Kutoka? Tezi Inaweza Kuwa Sababu!
Tezi dume ni nini? Kila mwanaume huzaliwa na tezi. Tezi hii ni kiungo katika mfumo wa mkojo ambacho hufanya kazi ya kutoa majimaji (semens) ambayo husaidia shahawa za kiume kuogelea wakati wa  kutoka...
stressed black teenager
"I Have HIV - What Now?" A Teen’s Guide to Thriving After Diagnosis
Santiago, a 15-year-old boy, visits the hospital to book a voluntary male circumcision. According to the rules, everyone who requests circumcision must undergo voluntary counseling and testing.  ...
toxins which destroy quality of human eggs and sperms
Sumu Zinazoharibu Ubora wa Mbegu za Uzazi
Katika mtiririko wa makala zetu za masuala ya ugumba au kushindwa kushika mimba haraka, leo nitaongelea vitu vinavyoweza kupelekea mbegu za uzazi yaani mayai ya kike au kiume kupoteza ubora wake na kushindwa...
doc - patient convo
Madhara ya Kutomwambia Ukweli Daktari Wako
Mara nyingi tunapoenda hospitali hatusemi ukweli aslimia 100. Huenda unaogopa kumwambia daktari wako juu ya dalili zote ulizopitia, au muda ulioumwa, au kama umeshatumia mitishamba au dawa yoyote nyumbani...
piles
Bawasili Inasababishwa na Mambo Haya Matano
Ukipata bawasili kwa mara ya kwanza unaweza kudhani ni kansa au ni utumbo unatoka nje. Hali hii hufanya mtu kuwaza mengi sana.   Wengi huja hospitali kuripoti kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa....
early symptoms of malaria
Nitagunduaje Dalili za Mapema za Malaria?
“Sio kila homa ni malaria bhana” ni kampeni maarufu sana ambayo Wizara ya Afya imekuwa ikiitumia mara kwa mara kuwakumbusha wananchi kuacha kununua dawa na kujitibu kiholela na pia kwenda mapema kwenye...
mosquito nets
“Sitaacha tena kutumia chandarua chenye dawa maishani mwangu”
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini tusipoweka chandaru baba anatugombeza sana! Mzee alihakikisha anapita chumbani kila usiku na kama chndarua hakijawekwa vizuri alikuwa anakirekebisha na kuhakikisha...
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15
en_USEN