Kila Nikianza Mazoezi Naishia Njiani, Nifanyeje?
Naitwa Faith, nina miaka 30. Kwa miaka mitatu mfululizo, kila nikianza mazoezi naishia njiani – sifikii lengo. Mwaka huu nimeanza tena lakini ndani ya wiki moja tu nikaacha. Jirani yangu kaanza mazoezi ana mwezi sasa, na naona anapungua uzito. Juzi alinambia wamekata kilo kumi. Kwanini mimi inakuwa ngumu? Majibu na Dr. Ansbert Mutashobya Karibu […]
Kila Nikianza Mazoezi Naishia Njiani, Nifanyeje? Read More »









