Nikiungua Moto Nichukue Hatua Gani za Mapema?
Jamii ina utaratibu wake wa kufanya pale mtu anapoungua. Wewe unajua upi? Kwenye utamaduni wangu nimekuwa nikiona mtu akiungua anamwagiwa mkojo kwenye sehemu aliyoungua na imekuwa ikiaminika kwamba inasaidia. Wengine huwa wanawahi kuweka asali sehemu iliyoungua wakiamini ni msaada mkubwa. Wengine mafuta ya taa, petroli na kadhalika. Ninyi kwenu huwa mnafanyaje? Kuungua ni tukio […]
Nikiungua Moto Nichukue Hatua Gani za Mapema? Read More »