October 2023

Nyaya (Orthodontic Braces) Kwenye Meno ni Urembo au Matibabu?

Nimetumia neno nyaya kwani ndivyo wengi huita vifaa hivi vya kurekebisha mpangilio wa meno yaani orthodontic braces. Inawezekana hata wewe ulishawahi kuziita nyaya za meno au ukadhani kuwa ni urembo wa mdomoni. Wengine huenda mbali hadi kuziita senyenge za mdomoni na majina mengine kadha wa kadha.   ”Mh! Hizo nyaya umeweka huko mdomoni ni za […]

Nyaya (Orthodontic Braces) Kwenye Meno ni Urembo au Matibabu? Read More »

Mambo 5 Yanayoharibu Afya ya Mfumo wa Chakula na Kupelekea Utumbo Kuvuja

Magonjwa mengi huanzia katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula. Dosari katika mfumo huu hupelekea shida kubwa katika sehemu nyingine za mwili.   Tafiti zinaonyesha kuwa upo muunganiko wa moja kwa moja wa ubongo na mfumo wa chakula, moyo, na hata ngozi pia. Utimamu wa afya yako unaendana na uimara wa afya katika mfumo wako wa

Mambo 5 Yanayoharibu Afya ya Mfumo wa Chakula na Kupelekea Utumbo Kuvuja Read More »

Kutana na Facts 14 Ulizokua Hujui Kuhusu Presha ya Kupanda na Kushuka

Je wajua? Presha ya kupanda huweza kutokea katika umri wowote ule; inategemea kisababishi ni nini. Kwahiyo ni vizuri kujua kiasi cha presha yako walau kila baada ya miezi sita.   Je wajua? Ugonjwa wa presha unaweza kurithiwa kutoka katika ukoo au familia. Hivyo kama mmoja wa ndugu zako – aidha babu, shangazi, mjomba, baba, dada

Kutana na Facts 14 Ulizokua Hujui Kuhusu Presha ya Kupanda na Kushuka Read More »

I slept with a stranger without condom and I don’t trust him, what should I do?

Imagine yourself dressed up and ready to hit the town for a night out. You arrive at a bustling nightclub and start enjoying a few drinks while dancing.   Amid the loud music and flashing lights, you catch the eye of a charming and attractive guy. The attraction is mutual, and you both start partying

I slept with a stranger without condom and I don’t trust him, what should I do? Read More »

Sehemu 2: Njia Kuu Tatu za Kulinda Mifupa Yako

Bila shaka katika mada iliyopita ulijifunza mambo mbalimbali ya kuhusu mifupa yako. Kama hukuisoma, nakushauri uanze nayo kwanza ili upate picha halisi ya mifupa yako.   Kutunza mifupa yako ni sehemu ya kuimarisha afya. Jiulize utafanya shughuli gani bila mifupa kuwa imara? Katika hali ya kawaida mfupa ukivunjka au hata kupata crack, maumivu yake yanaweza

Sehemu 2: Njia Kuu Tatu za Kulinda Mifupa Yako Read More »

Sehemu 1: Mifupa Yako Ina Mengi ya Kujifunza! Je Wajua?

Leo ningependa kukutanisha na facts 12 kuhusu mifupa yako ambazo – labda – ulikua huzijui. JE, WAJUA?   Je wajua? Mtoto huzaliwa akiwa na idadi ya mifupa 275 katika mwili wake. Akikua baadhi ya mifupa huungana kutengeneza mifupa mirefu. Akiwa mtu mzima, mifupa hubaki 206 tu.   Je wajua? Mifupa hiyo 206 ndiyo huungana kutengeneza

Sehemu 1: Mifupa Yako Ina Mengi ya Kujifunza! Je Wajua? Read More »

Ningependa Kuboresha Zaidi Rangi ya Meno Yangu, Nifanyeje?

Meno ya binadamu – mtu mzima – kwa kawaida huwa na rangi ya maziwa (cream) na sio nyeupe kabisa kama karatasi. Ubadilikaji wa rangi ya meno husababishwa na mambo mbalimbali kama vile kutosafisha kinywa vizuri, utumiaji wa vyakula na vinywaji kama vile kahawa, chai ya rangi, mbogamboga, matunda, pipi na kadhalika.     Matumizi ya

Ningependa Kuboresha Zaidi Rangi ya Meno Yangu, Nifanyeje? Read More »

Ninafanya Diet Lakini Sipungui Kilo. Ninakwama Wapi?

Huenda wewe ni mmoja kati ya watu wanaopambana kupunguza uzito mkubwa au unene, na umejaribu kufanya ‘diet’ kwa muda mrefu bila mafanikio?   Kama jibu lako ni ndiyo, basi hii makala ni kwa ajili yako. Jifunze kwanini unafeli katika diet na nini cha kufanya.   Kwanini ujali zaidi kuhusu uzito wako? Unene ni mrundikano wa

Ninafanya Diet Lakini Sipungui Kilo. Ninakwama Wapi? Read More »

Kila Nikianza Mazoezi Naishia Njiani, Nifanyeje?

Naitwa Faith, nina miaka 30. Kwa miaka mitatu mfululizo, kila nikianza mazoezi naishia njiani – sifikii lengo. Mwaka huu nimeanza tena lakini ndani ya wiki moja tu nikaacha. Jirani yangu kaanza mazoezi ana mwezi sasa, na naona anapungua uzito. Juzi alinambia wamekata kilo kumi. Kwanini mimi inakuwa ngumu?   Majibu na Dr. Ansbert Mutashobya Karibu

Kila Nikianza Mazoezi Naishia Njiani, Nifanyeje? Read More »

en_USEN