Know Your Health with a Beautiful Smile.
Welcome!
Our blog aims at giving you quality health education on various daily-life challenges.
LATEST ARTICLES
Katika mtiririko wa makala zetu za masuala ya ugumba au kushindwa kushika mimba haraka, leo nitaongelea vitu vinavyoweza kupelekea mbegu za uzazi yaani mayai ya kike au kiume kupoteza...
Mara nyingi tunapoenda hospitali hatusemi ukweli aslimia 100. Huenda unaogopa kumwambia daktari wako juu ya dalili zote ulizopitia, au muda ulioumwa, au kama umeshatumia mitishamba...
Ukipata bawasili kwa mara ya kwanza unaweza kudhani ni kansa au ni utumbo unatoka nje. Hali hii hufanya mtu kuwaza mengi sana. Wengi huja hospitali kuripoti kutokwa na kinyama...
“Sio kila homa ni malaria bhana” ni kampeni maarufu sana ambayo Wizara ya Afya imekuwa ikiitumia mara kwa mara kuwakumbusha wananchi kuacha kununua dawa na kujitibu kiholela na pia...
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini tusipoweka chandaru baba anatugombeza sana! Mzee alihakikisha anapita chumbani kila usiku na kama chndarua hakijawekwa vizuri alikuwa anakirekebisha...
Ni wazi umeshawahi kuusikia ugonjwa wa Malaria kabla ya kusoma makala hii. Na si aghalabu kuwa umeshawahi kuumwa malaria, au ndugu yako, au mtoto wako, au mtu unayemfahamu ameshawahi...
About Us
Our mission is to educate African communities using a friendly language.
More than 45 percent of adults in African countries lack proper education about their health. It has become a tradition to run to the pharmacy when faced with small health problems.
But, how cool would it be if there was a free solution to the various problems of our bodies? A solution which is available 24 hours a day!
This is the main reason for our existence. Helping Tanzanians and Africans in general to get the right information about their health, to develop better health habits and make the right treatment decisions after getting sick.