Know Your Health with a Beautiful Smile.
Welcome!
Our blog aims at giving you quality health education on various daily-life challenges.
LATEST ARTICLES
Leo asubuhi wakati naelekea katika pilikapilika za hapa na pale nilipata wasaa wa kuperuzi katika kundi moja la WhatsApp ambapo nilikutana na mazungumzo yanayohusu makala iliyoandikwa...
Jamii ina utaratibu wake wa kufanya pale mtu anapoungua. Wewe unajua upi? Kwenye utamaduni wangu nimekuwa nikiona mtu akiungua anamwagiwa mkojo kwenye sehemu aliyoungua na imekuwa ikiaminika...
Kipindi nikiwa mtoto nakumbuka kusistizwa kunywa kijiko cha mafuta ya Samaki, Mama yangu alisisitiza kuwa ni mazuri sana kwa afya. Leo nimekumbuka kipindi hicho na baada ya kusoma masomo...
Tezi dume ni nini? Kila mwanaume huzaliwa na tezi. Tezi hii ni kiungo katika mfumo wa mkojo ambacho hufanya kazi ya kutoa majimaji (semens) ambayo husaidia shahawa za kiume kuogelea...
Santiago, a 15-year-old boy, visits the hospital to book a voluntary male circumcision. According to the rules, everyone who requests circumcision must undergo voluntary counseling...
Katika mtiririko wa makala zetu za masuala ya ugumba au kushindwa kushika mimba haraka, leo nitaongelea vitu vinavyoweza kupelekea mbegu za uzazi yaani mayai ya kike au kiume kupoteza...
About Us
Our mission is to educate African communities using a friendly language.
More than 45 percent of adults in African countries lack proper education about their health. It has become a tradition to run to the pharmacy when faced with small health problems.
But, how cool would it be if there was a free solution to the various problems of our bodies? A solution which is available 24 hours a day!
This is the main reason for our existence. Helping Tanzanians and Africans in general to get the right information about their health, to develop better health habits and make the right treatment decisions after getting sick.