Know Your Health with a Beautiful Smile.

Welcome!

Our blog aims at giving you quality health education on various daily-life challenges.

We are certified
Waandishi wetu wote wana leseni ya kufanya matibabu na kutoa ushauri tiba.

"A fit body, a calm mind, a home full of love. These things cannot be bought - you have to work for them."
Alicia Phillbert,
Non-Executive Director

LATEST ARTICLES

UTI (1)
Nasumbuliwa na UTI Kila Mara, Nifanyeje?
Bila shaka swali kama hili sio geni kwako au inawezekana na wewe ni muhanga wa changamoto hii. Unapambana nayo vipi? Au unaishi nayo tu kama kawaida? Binafsi kama daktari nimekutana na wagonjwa wa namna hii mara kwa mara na nimekuwa nakijitahidi kutoa elimu ili kuhakikisha kila ninayekutana nae anapata msaada.  ...
Read More
red meat (1)
Nyama ya Ng'ombe/Mbuzi: Tule au Tusile?
Swala la ulaji wa nyama nyekundu ni swala ambalo katika jamii nyingi huwa na maana ya uthamani. Nikisema uthaman namaanisha ni swala linalofurahiwa na watu. Mfano wa nyama nyekundu...
Read More
milk
Ni Ukweli Unywaji wa Maziwa Unaweza Kupelekea Saratani ya Kibofu kwa Wanaume?
Leo asubuhi wakati  naelekea katika pilikapilika za hapa na pale nilipata wasaa wa kuperuzi katika kundi moja la WhatsApp ambapo nilikutana na mazungumzo yanayohusu makala iliyoandikwa...
Read More
burn scar
Nikiungua Moto Nichukue Hatua Gani za Mapema?
Jamii ina utaratibu wake wa kufanya pale mtu anapoungua. Wewe unajua upi? Kwenye utamaduni wangu nimekuwa nikiona mtu akiungua anamwagiwa mkojo kwenye sehemu aliyoungua na imekuwa ikiaminika...
Read More
faida za kutumia mafuta ya samaki
Mafuta ya Samaki: Chanzo, Faida na Matumizi
Kipindi nikiwa mtoto nakumbuka kusistizwa kunywa kijiko cha mafuta ya Samaki, Mama yangu alisisitiza kuwa ni mazuri sana kwa afya. Leo nimekumbuka kipindi hicho na baada ya kusoma masomo...
Read More
prostate gland
Mkojo Unakataa Kutoka? Tezi Inaweza Kuwa Sababu!
Tezi dume ni nini? Kila mwanaume huzaliwa na tezi. Tezi hii ni kiungo katika mfumo wa mkojo ambacho hufanya kazi ya kutoa majimaji (semens) ambayo husaidia shahawa za kiume kuogelea...
Read More
About Us

Our mission is to educate African communities using a friendly language.

More than 45 percent of adults in African countries lack proper education about their health. It has become a tradition to run to the pharmacy when faced with small health problems.

But, how cool would it be if there was a free solution to the various problems of our bodies? A solution which is available 24 hours a day!

This is the main reason for our existence. Helping Tanzanians and Africans in general to get the right information about their health, to develop better health habits and make the right treatment decisions after getting sick.

Our writers
Kwa ajili yako, kiganjani kwako, muda wowote.
en_USEN