Ijue Afya Yako kwa Tabasamu Zuri.
Karibu!
Blogu yetu ipo kukupa elimu ya afya kwa changamoto mbalimbali za maisha ya kila siku.
MAKALA MPYA
Ukipata bawasili kwa mara ya kwanza unaweza kudhani ni kansa au ni utumbo unatoka nje. Hali hii hufanya mtu kuwaza mengi sana. Wengi huja hospitali kuripoti kutokwa na kinyama...
“Sio kila homa ni malaria bhana” ni kampeni maarufu sana ambayo Wizara ya Afya imekuwa ikiitumia mara kwa mara kuwakumbusha wananchi kuacha kununua dawa na kujitibu kiholela na pia...
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini tusipoweka chandaru baba anatugombeza sana! Mzee alihakikisha anapita chumbani kila usiku na kama chndarua hakijawekwa vizuri alikuwa anakirekebisha...
Ni wazi umeshawahi kuusikia ugonjwa wa Malaria kabla ya kusoma makala hii. Na si aghalabu kuwa umeshawahi kuumwa malaria, au ndugu yako, au mtoto wako, au mtu unayemfahamu ameshawahi...
Je, unatamani kushika ujauzito? Au uko kwenye safari ya kushika ujauzito, kupandikiza mtoto (IVF) au kupata mimba kwa njia asilia? Unafahamu kuhusu ubora wa yai (egg quality)? ...
Bila shaka huwa una tabia ya kujifunza namna ya kuepuka magonjwa mbalimbali kama malaria, UKIMWI, kaswende, kansa, n.k. Lakini ulishawahi kujifunza namna ya kujikinga na kiharusi (stroke)?...
Kuhusu Sisi
Dhamira yetu ni kuelimisha jamii za kiafrika kwa kutumia lugha rafiki.
Asilimia zaidi ya 45 ya watu wazima, kwenye nchi za kiafrika, wana ukosefu wa Elimu sahihi kuhusu afya zao. Imekua tamaduni kwa wengi kukimbilia pharmacy pale tukikumbwa na changamoto ndogo ndogo za kiafya.
Lakini, ingekua poa kiasi gani kama kungekua na suluhisho bure kwa shida mbalimbali za miili yetu? Suluhisho linalopatikana masaa 24 kila siku!
Hii ndo sababu kubwa ya uwepo wetu. Kusaidia watanzania na waafrika kiujumla kupata taarifa sahihi za afya zao, ili kutengeza tabia bora za kiafya na kufanya maamuzi sahihi ya tiba baada ya kupata ugonjwa.