Ijue Afya Yako kwa Tabasamu Zuri.

Karibu!

Blogu yetu ipo kukupa elimu ya afya kwa changamoto mbalimbali za maisha ya kila siku.

Tumethibitishwa
Waandishi wetu wote wana leseni ya kufanya matibabu na kutoa ushauri tiba.

"Mwili unaofaa, akili iliyotulia, nyumba iliyojaa upendo. Vitu hivi haviwezi kununuliwa - lazima uvipambanie."
Alicia Phillbert,
Non-Executive Director

MAKALA MPYA

Baba Mwenye Ukoma
Ugonjwa wa Ukoma Tanzania: Kutoka Kudhibiti Mpaka Kutokomeza
Safari ya Tanzania katika kupambana na ukoma ni mfano mzuri wa mafanikio kwenye afya ya jamii. Miaka ya nyuma, ugonjwa huu ulileta ulemavu mkubwa, unyanyapaa, na changamoto nyingi za...
Read More
Madhara ya kujitibu kwa Google Searches
Matibabu ya Google: Fahamu Hatari za Kutegemea Google Search Kwenye Kujitibu
Watu wengi sana tuna Google dalili tulizonazo kabla na baada ya kwenda hospitali, bila shaka hii inaweza kuwa njia ya kuokoa muda, lakini kwa upande mwingine wa shilingi, hatua hii...
Read More
Mgonjwa wa TB Tanzania
Mgonjwa wa Kifua Kikuu Akitibiwa Anapona kabisa?
“Daktari nina kikohozi cha zaidi ya wiki mbili sasa na nikikohoa makohozi yanatoka yaliochanganyika na damu, pamoja na kuchoka mwili, vilevile nikilala usiku natokwa na jasho sana”  Hiyo...
Read More
mm (1)
Nani Mwenye Jukumu la kudhibiti Malaria Kwenye Jamii Yangu?
“Kama Baba Mateso angekuwa ananunua dawa ya mbu ya kuchoma mara kwa mara, familia hii tusingekuwa na Malaria!”  Mama Mateso akiwa analalamika.  Unatamani umuulize swali:...
Read More
kupima malaria kabla kuanza dozi
Umuhimu wa Kupima Malaria Kabla ya Kuanza Matibabu
Naomba usome makala hii polepole na kwa utulivu sana, kwa sababu ninakuandikia wewe na sio orodha ya watu, wala takwimu za hospitali.  Ninakuandikia wewe ambaye labda jana...
Read More
dalili hatari za malaria
Dalili Kali za Malaria Zinazohitaji Huduma kwa Haraka
Kuna baadhi yetu tunapohisi dalili za malaria, tunakimbilia katika maabara kupima na kwenda kwenye maduka ya dawa kwa ajili ya kupata dawa mseto.  Ni kawaida ya wengi kutafuta...
Read More
Kuhusu Sisi

Dhamira yetu ni kuelimisha jamii za kiafrika kwa kutumia lugha rafiki.

Asilimia zaidi ya 45 ya watu wazima, kwenye nchi za kiafrika, wana ukosefu wa Elimu sahihi kuhusu afya zao. Imekua tamaduni kwa wengi kukimbilia pharmacy pale tukikumbwa na changamoto ndogo ndogo za kiafya.

Lakini, ingekua poa kiasi gani kama kungekua na suluhisho bure kwa shida mbalimbali za miili yetu? Suluhisho linalopatikana masaa 24 kila siku!

Hii ndo sababu kubwa ya uwepo wetu. Kusaidia watanzania na waafrika kiujumla kupata taarifa sahihi za afya zao, ili kutengeza tabia bora za kiafya na kufanya maamuzi sahihi ya tiba baada ya kupata ugonjwa.

Waandishi wetu
Kwa ajili yako, kiganjani kwako, muda wowote.
swSW