Vyakula Vinavyoimarisha Kinga ya Mwili Dhidi ya Magonjwa
Wimbi la magonjwa mbalimbali, yasioambukiza na yanayoambukiza, linaendelea kuenea katika sehemu mbalimbali, hasa za mijini, na hali hii inapelekea watu kujiuliza wawe wanakula nini ili kuimarisha kinga ya mwili na kujiepusha kupata magonjwa haya. Mfano wa magonjwa yasioambukiza ni kisukari, presha, kansa na magonywa ya moyo. Kifua kikuu (TB), Ukimwi, Corona, dengi, surua, homa […]
Vyakula Vinavyoimarisha Kinga ya Mwili Dhidi ya Magonjwa Read More »










