Julai 2024

Lishe bora kwa wagonjwa wa kisukari

Kisukari ni ugonjwa usioambukiza unaogundulika baada ya vipimo vya kimaabara kuonyesha viwango vikubwa vya sukari katika damu kwa nyakati tofauti tofauti.   Ili uweze kugunduliwa kuwa una kisukari unapaswa kuwa umepimwa zaidi ya mara moja.   Unapokua umegundulika na ugonjwa wa kisukari unapaswa kubadilisha mtindo wako wa maisha na hii huhusisha maswala mawili muhimu: Kuongeza […]

Lishe bora kwa wagonjwa wa kisukari Read More »

“Sorry, your baby is HIV positive…”

As an expectant young mother who is HIV positive, it’s inspiring to see your commitment to adhering to your medication schedule and following the guidance of healthcare professionals.   Embracing the challenges of pregnancy, like morning sickness and feeling your baby’s first movements, you maintain a positive outlook and eagerly anticipate the progress of your

“Sorry, your baby is HIV positive…” Read More »

Fahamu madhara ya kutosafisha ulimi wako mara kwa mara na njia bora za usafi wake

Ulimi ni kiungo muhimu sana katika mdomo wako, lakini mara nyingi husahaulika katika usafi wa kila siku wa kinywa. Kusafisha ulimi ni hatua muhimu ambayo inapaswa kujumuishwa katika ratiba yako ya usafi wa kinywa.   Hebu tuchunguze kwa undani umuhimu wa kusafisha ulimi, kwani kuna magonjwa ya kinywa yanayoweza kugundulika kupitia ulimi hivyo kuuzingatia ni

Fahamu madhara ya kutosafisha ulimi wako mara kwa mara na njia bora za usafi wake Read More »

Aina 2 za juisi zitakazoimarisha uwezo wako wa kuona

Katika vipindi mbalimbali vya maisha ya binaadamu kumekua na mafundisho mbalimbali ambayo tunapata na leo katika makala hii nitaongelea namna ambavyo lishe, hasahasa juisi, inasaidia katika swala la uono au kuona (eyesight).   Tulivyokua watoto, wengi wetu, tulikua tunakazaniwa kula mboga za majani kwa msisitizo kwamba zinasaidia katika kuona vizuri.   Kupitia makala hii utaelewa,

Aina 2 za juisi zitakazoimarisha uwezo wako wa kuona Read More »

Vyakula Vinavyoongeza Maziwa ya Mama Baada ya Kujifungua

Je, umeshajifungua na maziwa hayotoki mengi? Leo nitakuelekeza namna ya kufanya ili ikusaidie wewe mama unayenyonyesha kupata maziwa ya kutosha kwa ajili ya mtoto wako na pia ni namna gani unapaswa kumnyonyesha mtoto wako ili aongezeke uzito.   Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na UNICEF wanapendekeza kuwa mama anapojifungua anapaswa kumnyonyesha mtoto ndani ya

Vyakula Vinavyoongeza Maziwa ya Mama Baada ya Kujifungua Read More »

Jinsi Mtazamo wa Dawa Unavyoweka Afya Yako Hatarini

“Mtazamo ni kama miwani, ukivaa miwani meusi basi dunia na vitu vyake huonekana vyeusi, ukivaa miwani meupe hivyo hivyo mambo yataonekana meupe.” – Dr. Faustine Kamugisha (Priest and Faith Mentor)   Afya yako pia ni mtazamo wako. Mtazamo chanya huleta afya bora, kinyume chake ni afya mbovu. Wewe umevaa miwani ya rangi gani kwenye afya

Jinsi Mtazamo wa Dawa Unavyoweka Afya Yako Hatarini Read More »

swSW