Ijue Afya Yako kwa Tabasamu Zuri.

Karibu!

Blogu yetu ipo kukupa elimu ya afya kwa changamoto mbalimbali za maisha ya kila siku.

Tumethibitishwa
Washauri wetu wote wana leseni ya kufanya matibabu na kutoa ushauri tiba.

"Mwili unaofaa, akili iliyotulia, nyumba iliyojaa upendo. Vitu hivi haviwezi kununuliwa - lazima uvipambanie."
Alicia Phillbert,
Mkurugenzi

MAKALA MPYA

toxins which destroy quality of human eggs and sperms
Sumu Zinazoharibu Ubora wa Mbegu za Uzazi
Katika mtiririko wa makala zetu za masuala ya ugumba au kushindwa kushika mimba haraka, leo nitaongelea vitu vinavyoweza kupelekea mbegu za uzazi yaani mayai ya kike au kiume kupoteza...
Read More
doc - patient convo
Madhara ya Kutomwambia Ukweli Daktari Wako
Mara nyingi tunapoenda hospitali hatusemi ukweli aslimia 100. Huenda unaogopa kumwambia daktari wako juu ya dalili zote ulizopitia, au muda ulioumwa, au kama umeshatumia mitishamba...
Read More
piles
Bawasili Inasababishwa na Mambo Haya Matano
Ukipata bawasili kwa mara ya kwanza unaweza kudhani ni kansa au ni utumbo unatoka nje. Hali hii hufanya mtu kuwaza mengi sana.   Wengi huja hospitali kuripoti kutokwa na kinyama...
Read More
early symptoms of malaria
Nitagunduaje Dalili za Mapema za Malaria?
“Sio kila homa ni malaria bhana” ni kampeni maarufu sana ambayo Wizara ya Afya imekuwa ikiitumia mara kwa mara kuwakumbusha wananchi kuacha kununua dawa na kujitibu kiholela na pia...
Read More
mosquito nets
“Sitaacha tena kutumia chandarua chenye dawa maishani mwangu”
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa kwanini tusipoweka chandaru baba anatugombeza sana! Mzee alihakikisha anapita chumbani kila usiku na kama chndarua hakijawekwa vizuri alikuwa anakirekebisha...
Read More
malaria sick woman
Malaria: Visababishi, Dalili, Jinsi ya Kujikinga na Matibabu
Ni wazi umeshawahi kuusikia ugonjwa wa Malaria kabla ya kusoma makala hii. Na si aghalabu kuwa umeshawahi kuumwa malaria, au ndugu yako, au mtoto wako, au mtu unayemfahamu ameshawahi...
Read More
Kuhusu Sisi

Dhamira yetu ni kuelimisha jamii za kiafrika kwa kutumia lugha rafiki.

Asilimia zaidi ya 45 ya watu wazima, kwenye nchi za kiafrika, wana ukosefu wa Elimu sahihi kuhusu afya zao. Imekua tamaduni kwa wengi kukimbilia pharmacy pale tukikumbwa na changamoto ndogo ndogo za kiafya.

Lakini, ingekua poa kiasi gani kama kungekua na suluhisho bure kwa shida mbalimbali za miili yetu? Suluhisho linalopatikana masaa 24 kila siku!

Hii ndo sababu kubwa ya uwepo wetu. Kusaidia watanzania na waafrika kiujumla kupata taarifa sahihi za afya zao, ili kutengeza tabia bora za kiafya na kufanya maamuzi sahihi ya tiba baada ya kupata ugonjwa.

Waandishi wetu
Wapo kwa ajili yako, kiganjani kwako, muda wowote.
swSW