Saikolojia

Changamoto 5 Zinazoweza Kupelekea Kushindwa Kupata Mtoto

Naitwa Jackson, nina miaka 35, nimejaribu sana kupata mimba na mchumba wangu kwa miaka miwili sasa bila mafanikio. Mimi na mchumba wangu tulikutana mwaka 2020 na mwaka uliofuata tukaanza kutafuta mtoto lakini ni miaka miwili sasa bila mafanikio, nifanyeje daktari?   Majibu na Dr. Ansbert Mutashobya Pole sana bwana Jackson kwa tatizo hilo. Ni jambo […]

Changamoto 5 Zinazoweza Kupelekea Kushindwa Kupata Mtoto Read More »

Kila Nikianza Mazoezi Naishia Njiani, Nifanyeje?

Naitwa Faith, nina miaka 30. Kwa miaka mitatu mfululizo, kila nikianza mazoezi naishia njiani – sifikii lengo. Mwaka huu nimeanza tena lakini ndani ya wiki moja tu nikaacha. Jirani yangu kaanza mazoezi ana mwezi sasa, na naona anapungua uzito. Juzi alinambia wamekata kilo kumi. Kwanini mimi inakuwa ngumu?   Majibu na Dr. Ansbert Mutashobya Karibu

Kila Nikianza Mazoezi Naishia Njiani, Nifanyeje? Read More »

Faida Tano za Kutofanya Mapenzi kwa Muda Mrefu

Kufanya mapenzi ni sehemu ya maisha, na ina faida nyingi za kiafya na kijamii. Mojawapo ikiwa ni kupata watoto, lakini pia ni sehemu ya starehe ya wanyama.   Kufanya mapenzi huwa na msaada wa kisaikolojia, kuleta muunganiko wa upendo kati ya wapendanao. Mahusiano yasiyojumuisha kufanya mapenzi yaweza kuharibika haraka sana kwakuwa hayana msingi imara.  

Faida Tano za Kutofanya Mapenzi kwa Muda Mrefu Read More »

swSW