Mama na Mtoto

Dalili Tatu za Hatari Kwenye Kipindi cha Ujauzito

Kubeba mimba na kuzaa mtoto ni tamanio la kila mwanamke japo huwa ni safari yenye changamoto mbalimbali. Maombi yangu kwako ewe mama mjamzito Mungu akutangulie ujifungue salama. Unapojifungua salama, safari isiiishie hapo bali endelea kuwaombea na wamama wengine nao wajifungue salama.   Wizara ya Afya, kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za afya, imejitahidi sana kupunguza

Dalili Tatu za Hatari Kwenye Kipindi cha Ujauzito Read More »

“Presha ya Mimba”: Kila Kitu Unachopaswa Kufahamu

Mara ya kwanza kusikia presha ya mimba ulikuwa wapi au ulikuwa na hali gani?   Binafsi niliifahamu presha ya mimba wakati niko katika mafunzo ya udaktari. Kabla ya hapo nilikuwa sina taarifa yoyote (mweupe kabisa) ndio maana nahisi nawewe waweza kuwa hauna ufahamu wa elimu hii.   Zamani nilidhani presha ya mimba ni ile hofu

“Presha ya Mimba”: Kila Kitu Unachopaswa Kufahamu Read More »

“Mama, nguzo ya afya ya familia”, ni kweli?

Kuna msemo unasema ‘ukimuelimisha mwanamke, umeelimisha dunia’, Je ni kweli? Mwanamke ana uhusiano gani na afya ya familia?   Mwandishi maarafu wa Marekani, Zig Ziglar, katika kitabu chake cha “See You at the Top” kuna mahala anasema “The best way to love your children is to love their mother”.   Unaisi aliona nini kwa mwanamke?

“Mama, nguzo ya afya ya familia”, ni kweli? Read More »

swSW