Lishe na Uzito

3 Reasons Why a Plant-based Diet Won’t Save You

Veganism is one of the most extreme diet ideas with a mix of religious beliefs, global politics, scientific dilemmas, and business gains. This might shock you: 90% of all vegans and vegetarians quit their diet. And guess what? They feel better and healthier afterwards. This should not surprise you.     Nutritional confusions The average

3 Reasons Why a Plant-based Diet Won’t Save You Read More »

Mafuta ya Alizeti ni Mazuri kwa Kupikia? Nitajuaje Mafuta Sahihi ya Kupikia?

Mafuta ni mojawapo ya kundi muhimu la vyakula vinavyohitajika mwilini. Mafuta pia ni moja kati ya makundi matatu yanayohitajika kwa wingi mwilini. Makundi mengine ni vyakula vya protini na hamirojo, yaani carbohydrates.   Kwanini mafuta ni muhimu? Kazi ya kwanza kabisa ya mafuta mwilini ni kukupatia nishati joto. Huusaidia mwili kupata joto wakati wa baridi.

Mafuta ya Alizeti ni Mazuri kwa Kupikia? Nitajuaje Mafuta Sahihi ya Kupikia? Read More »

Nine Health Benefits of Ditching Sugar and Processed Carbs

Sugar and highly processed carbs deteriorate every single organ. From your brain to the toe. They facilitate inflammation and insulin resistance, the two important factors associated with most modern diseases.   There is nothing bad with the carbohydrates. We have been enjoying carbs for years until we started processing them to highly-processed carbs and refined

Nine Health Benefits of Ditching Sugar and Processed Carbs Read More »

“Prebiotics na Probiotics” – Mapacha Wanaolinda Mfumo Wako wa Chakula

Chukulia kwamba mfumo wako wa chakula ni shamba, ambapo viumbe – kwa maana ya microrganisms kama bakteria – hufanya kazi kwa pamoja ili kuleta ustawi wa mazao. Prebiotics ni kama mbolea katika ‘shamba’. Wakati probiotics ni kama mbegu au uoto wenye manufaa katika shamba lako. Tukishaelewa huu mfanano turudi katika bailojia ya mfumo wa chakula.

“Prebiotics na Probiotics” – Mapacha Wanaolinda Mfumo Wako wa Chakula Read More »

Mambo 5 Yanayoharibu Afya ya Mfumo wa Chakula na Kupelekea Utumbo Kuvuja

Magonjwa mengi huanzia katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula. Dosari katika mfumo huu hupelekea shida kubwa katika sehemu nyingine za mwili.   Tafiti zinaonyesha kuwa upo muunganiko wa moja kwa moja wa ubongo na mfumo wa chakula, moyo, na hata ngozi pia. Utimamu wa afya yako unaendana na uimara wa afya katika mfumo wako wa

Mambo 5 Yanayoharibu Afya ya Mfumo wa Chakula na Kupelekea Utumbo Kuvuja Read More »

Nataka Kuacha Kutumia Sukari. Je, Asali ni Mbadala Sahihi?

Sukari ni kiongeza ladha nafuu kwa bei, rahisi kutumia na hupatikana kila mahali na kila wakati. Vyakula na vinywaji vingi vinavyouzwa madukani pia vimeongezewa sukari ili kuboresha ladha yake.   Ikiwa unataka kuepukana na utumiaji wa sukari – hivyo unatafuta mbadala – huenda umeshawahi kujiuliza kama asali ni mbadala sahihi wa sukari na maswali mengine

Nataka Kuacha Kutumia Sukari. Je, Asali ni Mbadala Sahihi? Read More »

Sababu 4  kwanini misuli yako haikui

Kukuza misuli na kuwa na muonekano wa kuvutia ni lengo la vijana wengi. Ndio maana ukienda gym utaona vijana wanavyopambana kukuza misuli.   Kwa bahati mbaya au nzuri, huwa sio rahisi kama wengi wanavyodhani na utafiti unaonyesha asilimia 75% ya vijana wanaojaribu kukuza misuli huishia njiani au kufeli kabisa kwa kushindwa kuendelea na kukaa tamaa

Sababu 4  kwanini misuli yako haikui Read More »

swSW