Usichokijua Kuhusu “Dawa za Majira”
Naitwa Jamila, nina miaka 22. Juzi nilishauriwa na rafiki yangu kuanza kutumia dawa za majira lakini sina elimu ya dawa hizi kabisa. Sina Uhakika kama ni sahihi kwangu au la. Naomba daktari unieleweshe ili nipate elimu na niweze kuwaelimisha wengine. Majibu na Dr. Ansbert Mutashobya Asante Jamila kwa kuliweka wazi ili na kutamani kujifunza. […]
Usichokijua Kuhusu “Dawa za Majira” Read More »