Ester Mndeme

Providing nutrition education and counselling in Tanzanian local communities, currently in Mkuranga - Pwani region. My goal is to raise awareness on how to improve our health through nutrition - in all human life stages.

Mara ya mwisho kula ‘sahani inayofaa’ ilikua lini?

Sahani inayofaa ni kitu gani hasa? Hii ni sahani ya mlo ambayo imebuniwa na wataalamu wa lishe kutoka Chuo Kikuu cha Harvard nchini Marekani. Unaweza kujiuliza inapatikana wapi sahani hii inayofaa! Je, inamaanisha sahani zetu tunazotumia nyumbani hazifai?   Sahani hii ya mlo unaofaa inakupaswa kuitumia pale unapotaka kula mlo wako wa siku ili uhakikishe

Mara ya mwisho kula ‘sahani inayofaa’ ilikua lini? Read More »

swSW