Disemba 2024

Je! Ni Kweli Soda au Juisi za Rangi Nyekundu Huongeza Damu?

Habari yako mpenzi msomaji?   Najua si jambo geni kusikia swala la upungufu wa damu hasa kwa watoto, wajawazito, pamoja na wasichana walio katika umri wa kuzaa. Kwa wengi wetu imekua ni kawaida  kutafuta namna mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia kutatua changamoto hii ya upungufu wa damu mwilini hasa tukiamini kwamba vitu kama soda zenye rangi

Je! Ni Kweli Soda au Juisi za Rangi Nyekundu Huongeza Damu? Read More »

Mtoto Wangu Haongezeki Uzito, Nifanye Nini?

“Mtoto wangu haongezeki uzito, nifanye nini?”   Hili ni swali ambalo liko katika akili za wazazi wengi wanaojali afya za watoto wao, kipindi ambacho watoto wanakua wananyonya na katika kipindi ambacho watoto wanaanza kutumia vyakula mbadala.    Muhimu ni kufahamu kwamba kipindi ambacho mtoto anakua kunakua na kiasi maalumu cha upandaji wa uzito huu.   

Mtoto Wangu Haongezeki Uzito, Nifanye Nini? Read More »

swSW