Septemba 2024

Understanding HIV Drug Resistance, Its Impacts & New Innovations

HIV (Human Immunodeficiency Virus) continues to be a global health challenge, affecting millions of lives worldwide. While advances in antiretroviral therapy (ART) have transformed HIV from a once-deadly disease into a manageable chronic condition, the emergence of HIV drug resistance poses significant hurdles in the fight against this virus. What is HIV Drug Resistance? HIV

Understanding HIV Drug Resistance, Its Impacts & New Innovations Read More »

Vyakula Vinavyoimarisha Kinga ya Mwili Dhidi ya Magonjwa

Wimbi la magonjwa mbalimbali, yasioambukiza na yanayoambukiza, linaendelea kuenea katika sehemu mbalimbali, hasa za mijini, na hali hii inapelekea watu kujiuliza wawe wanakula nini ili kuimarisha kinga ya mwili na kujiepusha kupata magonjwa haya.   Mfano wa magonjwa yasioambukiza ni kisukari, presha, kansa na magonywa ya moyo. Kifua kikuu (TB), Ukimwi, Corona, dengi, surua, homa

Vyakula Vinavyoimarisha Kinga ya Mwili Dhidi ya Magonjwa Read More »

“Presha ya Mimba”: Kila Kitu Unachopaswa Kufahamu

Mara ya kwanza kusikia presha ya mimba ulikuwa wapi au ulikuwa na hali gani?   Binafsi niliifahamu presha ya mimba wakati niko katika mafunzo ya udaktari. Kabla ya hapo nilikuwa sina taarifa yoyote (mweupe kabisa) ndio maana nahisi nawewe waweza kuwa hauna ufahamu wa elimu hii.   Zamani nilidhani presha ya mimba ni ile hofu

“Presha ya Mimba”: Kila Kitu Unachopaswa Kufahamu Read More »

Mambo 10 ya Kuzingatia Wakati Unafanya “Dieting” ili Kupungua Uzito

Nimeamua kuandika makala hii kwa sababu watu wengi huwa wanatamani kujua vitu vya kufanya ili waweze kupungua uzito hasa katika eneo la tumbo au kitambi.   Uzito uliozidi umekua ukihusishwa moja kwa moja na hatari ya mtu kupata magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la juu la damu, magonjwa ya moyo, magonjwa ya mifupa, kisukari na

Mambo 10 ya Kuzingatia Wakati Unafanya “Dieting” ili Kupungua Uzito Read More »

Jinsi Ulaji wa Nyama na Samakigamba Unavyopelekea Ongezeko la Uric Acid Mwilini

Uric Acid ni kemikali ambayo ikiongezeka kwa wingi mwilini hupelekea utengenezwaji wa chembe ngumu, watu wengine huita mawe, ambayo hujikusanya na kusababisha gout au arthritis kwa upande wa miguu na mifupa.   Lakini pia, katika mfumo wa mkojo uric acid hii hupelekea kutengenezwa kwa chembe ngumu ambazo hujulikana kwa lugha iliyozoeleka kama mawe katika figo.

Jinsi Ulaji wa Nyama na Samakigamba Unavyopelekea Ongezeko la Uric Acid Mwilini Read More »

swSW