Athari 7 za Kukosa Lishe Bora kwa Mama Mjamzito
Kipindi cha ujauzito ni kipindi ambacho mama anapaswa kuwa anakula vyakula vinavyompatia virutubisho vya kutosha kwa ajili ya maendeleo ya kiafya yanayotakiwa katika mwili wake na pia kwa ajili ya ukuaji bora wa mtoto tumboni mwake. Vyakula vinavyompatia mama virutubishi vya kutosha katika kipindi cha ujauzito huimarisha afya ya mama na humsaidia mtoto kukua […]
Athari 7 za Kukosa Lishe Bora kwa Mama Mjamzito Read More »