Novemba 2023

Insecurity and Cigarette Smoking: Unrequited Love!

Cigarette smoking has been a sensitive issue in our communities. It’s a most common substance used worldwide. Previously it was men who were smoking 7 times more than women, but as per current data, the gap is becoming very narrow especially in developed countries.   While cigarette smoking is becoming less in developed countries, it

Insecurity and Cigarette Smoking: Unrequited Love! Read More »

Fahamu Changamoto 3 Muhimu Katika Ukuaji wa Meno ya Mtoto Wako

Meno ni kiungo kimojawapo mwilini kilicho kidogo lakini muhimu katika kinywa. Meno hucheza jukumu kubwa katika maisha yako ya kila siku. Hufanikisha kazi ya kutafuna, kusema, na hata kuchangia katika urembo wa uso wako.   Mchakato wa ukuaji wa meno, unaojulikana kama odontogenesis, ni safari ndefu inayoanza kabla hata haujazaliwa. Kuelewa jinsi meno yanavyotokea na

Fahamu Changamoto 3 Muhimu Katika Ukuaji wa Meno ya Mtoto Wako Read More »

Jinsi Ugonjwa wa Kisukari Unavyoweza Kuathiri Afya Yako ya Kinywa

“Kisukari” au ugonjwa wa kisukari (diabetes) ni ugonjwa uliosheheni sana katika jamii zetu. Kisukari ni hali ya kiafya inayotokea wakati kiwango cha sukari (glucose) kwenye damu kinapokuwa juu sana.   Kuna aina tofauti za kisukari, ikiwa ni pamoja na kisukari cha aina ya 1, kisukari cha aina ya 2, na kisukari cha ujauzito (gestational diabetes).

Jinsi Ugonjwa wa Kisukari Unavyoweza Kuathiri Afya Yako ya Kinywa Read More »

Changamoto 5 Zinazoweza Kupelekea Kushindwa Kupata Mtoto

Naitwa Jackson, nina miaka 35, nimejaribu sana kupata mimba na mchumba wangu kwa miaka miwili sasa bila mafanikio. Mimi na mchumba wangu tulikutana mwaka 2020 na mwaka uliofuata tukaanza kutafuta mtoto lakini ni miaka miwili sasa bila mafanikio, nifanyeje daktari?   Majibu na Dr. Ansbert Mutashobya Pole sana bwana Jackson kwa tatizo hilo. Ni jambo

Changamoto 5 Zinazoweza Kupelekea Kushindwa Kupata Mtoto Read More »

Je, Ni Lazima Kutumia Meno Bandia Ninapopoteza Meno?

Meno bandia – yaani dentures – ni zana unazoweza kutumia kama umepoteza (kung’oa) meno baadhi au yote katika kinywa chako.  Zana hizi hukusaidia kurejesha uwezo wako wa kutafuna au kung’ata, kuleta muonekano mzuri na kusaidia uso wako kutokusinyaa.     Zana hizi hutengenezwa kulingana na maumbile yako ya kinywa. Hivyo basi, huwezi kwenda duka la

Je, Ni Lazima Kutumia Meno Bandia Ninapopoteza Meno? Read More »

Nine Health Benefits of Ditching Sugar and Processed Carbs

Sugar and highly processed carbs deteriorate every single organ. From your brain to the toe. They facilitate inflammation and insulin resistance, the two important factors associated with most modern diseases.   There is nothing bad with the carbohydrates. We have been enjoying carbs for years until we started processing them to highly-processed carbs and refined

Nine Health Benefits of Ditching Sugar and Processed Carbs Read More »

Oral Hygiene Practices during Pregnancy: Myths, Facts and Best Practices

“Chupa yangu imevunjikia mdomoni” to mean “My water broke in my mouth” is a common phrase that I, personally as a dentist, encounter with most mothers I come across with within my community. They usually mean that it was during their pregnancies that they had experienced most of their teeth becoming carious and eventually leading

Oral Hygiene Practices during Pregnancy: Myths, Facts and Best Practices Read More »

swSW