Septemba 2023

“Presha yangu haishuki pamoja na kumeza dawa mara kwa mara”

Presha au shinikizo la damu (high blood pressure) ni hali ya mwili kuwa na mgandamizo mkubwa katika mzunguko wa damu, hivyo kufanya moyo kusukuma damu kwa shida kutokana na kuwa na ukinzani (force) mkubwa kwenye damu.   Hali hii hufanya mishipa ya damu kubeba damu katika mgandamizo mkubwa hivyo kupelekea uwezekano wa kupasuka na kuvujia […]

“Presha yangu haishuki pamoja na kumeza dawa mara kwa mara” Read More »

Sababu 4  kwanini misuli yako haikui

Kukuza misuli na kuwa na muonekano wa kuvutia ni lengo la vijana wengi. Ndio maana ukienda gym utaona vijana wanavyopambana kukuza misuli.   Kwa bahati mbaya au nzuri, huwa sio rahisi kama wengi wanavyodhani na utafiti unaonyesha asilimia 75% ya vijana wanaojaribu kukuza misuli huishia njiani au kufeli kabisa kwa kushindwa kuendelea na kukaa tamaa

Sababu 4  kwanini misuli yako haikui Read More »

What should I do if I am HIV positive and PREGNANT?

It’s vital for individuals who are HIV positive to take the necessary precautions during pregnancy to ensure the safety and well-being of both themselves and their baby.   Here are some helpful tips to follow that can make a significant difference (i) Discovering that you are pregnant is an exciting and life-changing moment. Taking the

What should I do if I am HIV positive and PREGNANT? Read More »

swSW