Tesla Wamekuja na Roboti za Kubebea Mimba kwa Miezi 9
Katika habari zilizozua gumzo duniani kwa sasa ni baada ya mitandao mbalimbali duniani kuripoti mpango uliodokezwa na kampuni ya Tesla inayomilikiwa na tajiri namba moja duniani – Elon Musk. Kampuni hii imegusia mpango wa kutengeneza roboti aitwae Optimus Humanoid – ambaye atakuwa na uwezo wa kubeba mimba miezi 9. Roboti hii ikikamilika itawafanya […]
Tesla Wamekuja na Roboti za Kubebea Mimba kwa Miezi 9 Read More »