Dalili Kali za Malaria Zinazohitaji Huduma kwa Haraka
Kuna baadhi yetu tunapohisi dalili za malaria, tunakimbilia katika maabara kupima na kwenda kwenye maduka ya dawa kwa ajili ya kupata dawa mseto. Ni kawaida ya wengi kutafuta tiba mbadala ya malaria kabla ya kwenda hospitali kutokana na sababu mbalimbali za umbali, uchumi na kukwepa adha nyingine. Je, umeshawahi kujiuliza kwanini unatakiwa kuwahi kituo cha […]
Dalili Kali za Malaria Zinazohitaji Huduma kwa Haraka Read More »








