Dr. Tumaini Philimon Majwala

I am a healthcare provider. I focus on sharing clear, evidence based health information through articles and social media. My goal is to help you understand healthily life. I believe accurate health information improves decisions and lives.

Mgonjwa wa Kifua Kikuu Akitibiwa Anapona kabisa?

“Daktari nina kikohozi cha zaidi ya wiki mbili sasa na nikikohoa makohozi yanatoka yaliochanganyika na damu, pamoja na kuchoka mwili, vilevile nikilala usiku natokwa na jasho sana”  Hiyo hapo juu ni nukuu ya maelezo ya mgonjwa mmoja alipoamua kufika hospitali baada ya kujaribu kutibu kikohozi kwa zaidi ya wiki mbili bila kupona, alizidi kuona hali […]

Mgonjwa wa Kifua Kikuu Akitibiwa Anapona kabisa? Read More »

Umuhimu wa Kupima Malaria Kabla ya Kuanza Matibabu

Naomba usome makala hii polepole na kwa utulivu sana, kwa sababu ninakuandikia wewe na sio orodha ya watu, wala takwimu za hospitali.  Ninakuandikia wewe ambaye labda jana au wiki iliyopita umehisi mwili wako haupo sawa sababu unahisi maumivu ya kichwa, baridi kali, joto la ghafla, uchovu usioelezeka. Unakaa chini na kujiuliza, “Nina nini hasa?” Na

Umuhimu wa Kupima Malaria Kabla ya Kuanza Matibabu Read More »

emergency care in tanzania

“Lisaa la Dhahabu”: Siri ya Kuokoa Maisha Unapopata Dharura ya Kiafya

Sekunde chache zinaweza kutofautisha kati ya kupona na kupoteza maisha. Wakati unapokabiliwa na dharura kama ajali, kiharusi (stroke), au shambulio ghafla la moyo, kuna muda muhimu unaoitwa “Saa la Dhahabu”. Hizi ni dakika 60 za kwanza tangu tatizo linapotokea, ambapo mwili unahitaji msaada wa haraka wa kitaalamu ili kuzuia madhara makubwa au ulemavu wa kudumu.

“Lisaa la Dhahabu”: Siri ya Kuokoa Maisha Unapopata Dharura ya Kiafya Read More »

Madhara ya kukaa muda mrefu kwenye kiti

“Kifo Kwenye Kiti”: Fahamu Hatari za Kukaa Muda Mrefu Sehemu Moja

Maisha ya kisasa yanawalazimisha watu wengi kukaa kwenye viti kwa saa nane au zaidi kila siku. Watu wengi hutumia muda mwingi wakiwa wamekaa. Wanafunzi hukaa darasani wakisoma, wafanyakazi hukaa ofisini, na wengi hukaa wakitumia simu au kompyuta. Ulimwengu tunaoishi sasa sio mkubwa kama ilivyokuwa zamani. Zamani watu walikuwa wakitembea kwenda sokoni, kulima, kuwinda, na kusafiri.

“Kifo Kwenye Kiti”: Fahamu Hatari za Kukaa Muda Mrefu Sehemu Moja Read More »

effects of not sleeping well

Jinsi Usingizi Mdogo Unavyoleta Kitambi na Kuongeza Stress

Katika ulimwengu wa sasa wenye kasi, wengi wetu tunajivunia “kukesha.” Tunakesha tukifanya kazi (kumalizia kazi za ofisini), tukiangalia filamu (“episode moja ya mwisho”), tukicheza game au tukipita kwenye mitandao ya kijamii. Tumeanza kuuona usingizi kama anasa au dalili ya uvivu. Unakuta mtu anasema, “Nililala saa tisa alfajiri,” kana kwamba ni tuzo. Lakini, vipi kama nikikuambia

Jinsi Usingizi Mdogo Unavyoleta Kitambi na Kuongeza Stress Read More »

swSW