Nani Mwenye Jukumu la kudhibiti Malaria Kwenye Jamii Yangu?
“Kama Baba Mateso angekuwa ananunua dawa ya mbu ya kuchoma mara kwa mara, familia hii tusingekuwa na Malaria!” Mama Mateso akiwa analalamika. Unatamani umuulize swali: Jukumu la kukinga familia dhidi ya malaria ni la nani? Mama Mateso ni mama wa familia na Mwenyekiti wa Mtaa wa kiongoleni, Kata ya Goba. Familia yake inawindwa sana na […]
Nani Mwenye Jukumu la kudhibiti Malaria Kwenye Jamii Yangu? Read More »




